Monday, May 15, 2017

Floyd Mayweather asema bila Baba yake asingekuwa bondia bora
Bondia maarufu Floyd
Mayweather amesema bila baba yake asingepata mafanikio
makubwa kwenye mchezo wa ngumi.
Floyd Mayweather na
baba yake Floyd
Sr wamekuwa
na uhasama kwa muda mrefu uliopelekea baba yake kufundisha mabondia
waliopambana na kumtwanga mtoto wake.
Floyd Mayweather amekuwa mkubwa sasa na amekiri kuwa
baba yake ndio chanzo cha mafanikio yake “all
the thanks to my dad.”
Tags
# MICHEZO
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Exim Bank Tanzania yatoa fursa ya ziara kwa wanafunzi wa Harvard
Older Article
Diamond Platnumz anasema hii ndio picha yake bora mwaka huu….
TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI KUU TANZANIA
Hassani MakeroMar 08, 2025WAKAZI WA DAR WAJITOKEZA KUCHUKUA NAMBA KUSHIRIKI MBIO ZA YAS KILI INTANATION HALF MARATHON
kilole mzeeFeb 15, 2025KOCHA WA YANGA APEWA MKONO WA KWAHERI
Hassani MakeroFeb 04, 2025
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment