Monday, May 15, 2017

Nicki Minaj akanusha kuwa mpenzi wa rapa Nas….
Baada ya picha yao pamoja
kuibua tetesi kuwa ni wapenzi kutokana na ZERO DISTANCE kati yao, rapa wa Young Money Nicki
Minaj amekanusha tetesi hizi..
Kupitia twitter Nicki
Minaj aliulizwa
na shabiki kama anatoka na Nas, jibu lake halikuwa moa kwa moja HAPANA ila
alihakikisha shabiki huyo anajua kuwa hizi ni TETESI tu
na sio kweli.
Wiki hii wawili hawa
waliongelewa kama COUPLE mpya kwenye hiphop baada ya post ya Minaj kusema “Only KINGS recognize QUEENS,”
Nicki Minaj aliachana na Meek
Mill December mwaka jana.
Tags
# BURUDANI
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Upo tayari kwa filamu ya Action kutoka kwa Jackie Chan na Sylvester Stallone….
Older Article
BOT yaifungia benki ya jamii ya Mbinga
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment