Monday, May 15, 2017

Upo tayari kwa filamu ya Action kutoka kwa Jackie Chan na Sylvester Stallone….
Wakongwe wa filamu Marekani Jackie
Chan na Sylvester Stallone wametajwa kufanya filamu pamoja, Ex-Baghdad,
itakuwa filamu ya Action itakayoongozwa na Scott Waugh ikiwa na bajeti ya dola
milioni $80 million.
Filamu hii ni miongoni mwa
filamu zenye bajeti kubwa kuwahi kutoka nchini China, Jackie Chan atakuwa Producer wa filamu hii.
Hii itakuwa mara ya kwanza Jackie Chan na Stalone wanafanya filamu ya pamoja.
Tags
# FILAMU
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Diamond Platnumz anasema hii ndio picha yake bora mwaka huu….
Older Article
Nicki Minaj akanusha kuwa mpenzi wa rapa Nas….
RAIS WA ZANZIBAR AMEKUTANA NA MUIGIZAJI WA FILAMU ZA KIHINDI
Hassani MakeroNov 09, 2021Serikali Kuanzisha Mfuko Wa Sanaa Na Utamaduni-Dkt.Abbasi
Hassani MakeroJul 09, 2020MATOKEO YA TUNZO YA TANO YA FILAMU INAYOTOLEWA NA MFUKO WA EMERSON'S ZANZIBAR FOUNDATION KUTANGAZWA JULAI 4
Hassani MakeroJul 02, 2020
Labels:
FILAMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment