Friday, May 19, 2017

WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii nchini Jaji Thomas
Mihayo akizungumza katika mkutano mfupi uliofanyika katika Stesheni ya Tazara
jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Wasanii hao Nyota wakiwasili katika
Stesheni ya TAZARA Jijini Dar es Salaam
Waziri wa Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akizungumza wakati wa kuwakaribisha wasanii hao nyota kutoka nchini China.
Muongoazaji wa filamu ya siri za familia akitoa
Salamu za Wasanii hapa nchini
Wasanii hao Nyota wakiwa wameketi kwa pamoja
wakati wa mkutano
Wasanii hao wakiwa katika kurekodi sehemu ya
vipindi vitakavyorushwa katika cheneli za nchini China
Baadhi ya watali hao wakiwa wamekaa katika Vibalaza
vya Stesheni ya Tazara
Wasani wa filamu nchini wakibadilishana mawasiliano
na muongozaji wa kundi la wapiga picha na waandishi kutoka nchini China
Mwakilishi wa kabila la Wadzabe akionyesha namna ya
kutumia upinde kwa wasani nyota kutoka nchini China
Sehemu ya wapiga picha waliongozana na Wasanii hao
nyota kutoka nchini China
Mmoja wa wapiga picha kutoka nchini China akirekodi
wakati treni lilipo fanya ruti fupi mpaka Yombo na kurudi
Sehemu ya Wasanii nyota wakiwa ndani ya treni
Kundi la Wasaniihao na wapiga picha wakiwa ndani ya
Treni ya Tazara wakirekodi kipindi na kufanya majadiliano
Baadhi ya watali hao wakipiga picha za ukumbusho
Mmoja wa watali hao akishiriki kupiga ngoma za asili
Tags
# FILAMU
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
ZANTEL YAZINDUA VIFURUSHI VYA BURE KWA MITANDAO YOTE YA KIJAMII ILI KUWANUFAISHA VIJANA
Older Article
MWALIMU COMMERCIAL BANK PLC (MCB), YAZINDUA KAMPENI YA WEKA AKIBA NA USHINDE, WATEJA KUONDOKA NA IPADS
RAIS WA ZANZIBAR AMEKUTANA NA MUIGIZAJI WA FILAMU ZA KIHINDI
Hassani MakeroNov 09, 2021Serikali Kuanzisha Mfuko Wa Sanaa Na Utamaduni-Dkt.Abbasi
Hassani MakeroJul 09, 2020MATOKEO YA TUNZO YA TANO YA FILAMU INAYOTOLEWA NA MFUKO WA EMERSON'S ZANZIBAR FOUNDATION KUTANGAZWA JULAI 4
Hassani MakeroJul 02, 2020
Labels:
FILAMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment