WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, May 19, 2017

WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO

Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii nchini Jaji Thomas Mihayo akizungumza katika mkutano mfupi uliofanyika katika Stesheni ya Tazara jijini Dar es Salaam
 Baadhi ya Wasanii hao Nyota wakiwasili katika  Stesheni ya TAZARA Jijini Dar es Salaam
Waziri wa Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akizungumza wakati wa kuwakaribisha wasanii hao nyota kutoka nchini China.
 Muongoazaji wa filamu ya siri za familia akitoa Salamu za Wasanii hapa nchini
 Wasanii hao Nyota wakiwa wameketi kwa pamoja  wakati wa mkutano
 Wasanii hao wakiwa katika kurekodi sehemu ya vipindi vitakavyorushwa katika cheneli za nchini China
Baadhi ya watali hao wakiwa wamekaa katika Vibalaza vya Stesheni ya Tazara 
Wasani wa filamu nchini wakibadilishana mawasiliano na muongozaji wa kundi la wapiga picha na waandishi kutoka nchini China
Mwakilishi wa kabila la Wadzabe akionyesha namna ya kutumia upinde kwa wasani nyota kutoka nchini China
Sehemu ya wapiga picha waliongozana na Wasanii hao nyota kutoka nchini China 
Mmoja wa wapiga picha kutoka nchini China akirekodi wakati treni lilipo fanya ruti fupi mpaka Yombo na kurudi
Sehemu ya Wasanii nyota wakiwa ndani ya treni 
Kundi la Wasaniihao na wapiga picha wakiwa ndani ya Treni ya Tazara wakirekodi kipindi na kufanya majadiliano 
Baadhi ya watali hao wakipiga picha za ukumbusho 
Mmoja wa watali hao akishiriki kupiga ngoma za asili

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages