Katika hali ya kawaida ya maisha ya mwafrika Richard alikwenda kwa waganga wengi ndani ya wilaya ya muheza na wilaya za karibu kama Handeni na Pangani bila mafanikio. Wapo waliomshauri aende hospitali pamoja na makanisa mbalimbali lakini hakupata msaada bali changamoto ilikua inazidi kwakua mafarakano yalikua yanazidi kwenye familia, alisema Richard. Siku moja katika hali ya kutafuta chaneli za dini katika King’amuzi cha Dish (Free to Air Dish, IS20 Frequency Namba 12603) Alifanikiwa kuiona WRM TV akiwa nyumbani kwake Tanga, ambayo baada ya kuifuatilia akavutika kuja kushiriki Ibada ya maombezi na Unabii zinazoongozwa na Chief Prophet Nicolaus Suguye na kufanikiwa kufika Kanisani ambapo alitamkiwa neno la kinabii na Prophet Nicolaus Suguye kuwa watakwenda kuzaa mpaka watatamani kufunga uzazi.
Katika hali ya kawaida ya maisha ya mwafrika Richard alikwenda kwa waganga wengi ndani ya wilaya ya muheza na wilaya za karibu kama Handeni na Pangani bila mafanikio. Wapo waliomshauri aende hospitali pamoja na makanisa mbalimbali lakini hakupata msaada bali changamoto ilikua inazidi kwakua mafarakano yalikua yanazidi kwenye familia, alisema Richard. Siku moja katika hali ya kutafuta chaneli za dini katika King’amuzi cha Dish (Free to Air Dish, IS20 Frequency Namba 12603) Alifanikiwa kuiona WRM TV akiwa nyumbani kwake Tanga, ambayo baada ya kuifuatilia akavutika kuja kushiriki Ibada ya maombezi na Unabii zinazoongozwa na Chief Prophet Nicolaus Suguye na kufanikiwa kufika Kanisani ambapo alitamkiwa neno la kinabii na Prophet Nicolaus Suguye kuwa watakwenda kuzaa mpaka watatamani kufunga uzazi.
No comments:
Post a Comment