Mambo mengine aliyosisitiza Dkt. Bashiru ni Pamoja na watendaji hao kusimamia nidhamu ndani ya chama, haki na kuwapa motisha wana CCM wenye moyo wa kujitolea.
Awali akimkaribisha katibu mkuu kwa ajili ya ufunguzi wa semina hiyo, Naibu katibu mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo akawataka watendaji hao kuhakikisha wanaongeza asilimia za ushindi kwa CCM ili chama kijiongezee kiwango cha ruzuku kutokana na asilimia za ushindi.
No comments:
Post a Comment