Saturday, June 27, 2020

BASI LA PREZEDAR LAPINDUKA KITONGA LAUA 10 NA KUJERUHIWA 50
Abiria 10 wamepoteza maisha na 50 wejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Prezedar lililokuwa likielekea Dar es Salaam kutumbukia korongoni baada ya break kufeli
Mganga mfawidhi wa Hospitali teule ya Misheni Ilula Dkt Benjamin Chota ameeleza kuwa hadi majira ya saa 1:30 usiku walikuwa wamepokea maiti 4 na taarifa toka sehemu ya ajali kuwa kuna maiti 6 zipo njiani .
Kati ya maiti hizo vijana wanaosadikika kuwa na miaka 18 ni maiti mbili na watoto chini ya miaka mitano wawili ndizo maiti zilizofika.
Wakati majeruhi 50 watu wazima ni 33 Kati yao wanaume 16 wanawake 17 na watoto chini ya miaka 18 wapo 17 Kati yao wakike ni 7 wavulana 10 .
Utambuzi wa maiti bado unaendelea.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
DKT. BASHIRU AHIMIZA HAKI KWA WATENDAJI WA CCM WILAYANI
Older Article
NAIBU SPIKA WA BARAZA LA WAWAKILISHI AJITOSA KUUTAKA URAIS WA ZANZIBAR
WATU 12,000 WAHOFIWA KUUGUA UGONJWA WA HIMOFILIA NCHINI
Hassani MakeroApr 19, 2025KILUPI: ATAKA KURA ZA MAONI ZISIWAGAWE WANACCM
Hassani MakeroApr 14, 2025Dkt.Dimwa - Akemea Rushwa Mchakato wa Kura za Maoni
Hassani MakeroApr 14, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment