Thursday, July 2, 2020

Home
KITAIFA
Ajali yatokea Mlandizi magari manne yagongana, Wananchi watakiwa kutumia barabara ya Bagamoyo
Ajali yatokea Mlandizi magari manne yagongana, Wananchi watakiwa kutumia barabara ya Bagamoyo
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, amewataka watumiaji wa barabara ya Morogoro kutumia njia ya barabara ya msata baada ya kutokea ajali ya magari manne katika daraja la Mkalamo Mlandizi.
Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Julai 02,2020 imesababisha kifo cha mtu mmoja na majeruhi watatu.
Tukio hilo limesababisha kuwepo kwa foleni kubwa na polisi kuifunga barabara hiyo kwa muda kutokana na ajali hiyo.
Kamanda Nyigesa amesema Jeshi la polisi mkoani Pwani linaendelea na jitihada za kutoa magari hayo yaliyofunga njia.
Habari za awali inadaiwa kuwa lori la mafuta limegongana na gari jingine na kusababisha magari mawili kugongana katika eneo hilo.
Habari hii itaendelea..
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO
Hassani MakeroMar 12, 2025"Stori za Afya za Wanawake wa Tanzania zina thamani kwetu", Absa Bank
Hassani MakeroMar 12, 2025HALMASHAURI KUU YA CCM YAPENDEKEZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA UTEUZI WA WAGOMBEA UONGOZI
Hassani MakeroMar 11, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment