Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasilano kutoka Benki ya Exim - Stanley Kafu, akichangia damu kwenye kampeni ya kuchangia damu iliyoandaliwa na Benki ya Exim kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) iliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Exim Bank imekuwa mdau mkubwa wa uchangiaji damu kwa miaka kadhaa sasa na hii ni sehemu ya mpango wa kitaifa wa uchangiaji damu unaoratibiwa na Benki ya Exim kwa kushirikiana na NBTS utakaofanyika katika mikoa mitano. Kushoto ni Mtaalamu wa Maabara - Gisbert Ruseruka.
Thursday, June 13, 2024
BENKI YA EXIM YAANDAA KAMPENI YA KUCHANGIA DAMU MIKOA MITANO
Tags
# BIASHARA
Share This
About Hassani Makero
BIASHARA
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Sharing Buttons
Author Details
Hassani Makero is a Softsol Mediatechnology Tanzania Ltd Country Manager located at Dar es Salaam-Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
No comments:
Post a Comment