Tuesday, March 21, 2017

TANZANIA YATILIANA SAINI NA MFUKO WA MAENDELEO KIUCHUMI WA KUWAIT
Waziri
wa Fedha na Mipango , Dk. Philip Mpango akisaini mkataba wa mkopo kwa ajili ya
ujenzi wa barabara ya Chahua hadi Chaya kwa mkopo wa Dola Milioni 51 za
kimarekani, katika shughuli iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hazina, jijini Dar es
salaam leo.
Naibu
Mkurugenzi wa mfuko wa wa Kuwait , Hamad Al-Omar akiabadilishana mkataba
na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk .Philip Mpango.
Baadhi ya wajumbe kutoka nchini Kuwait wakishuhudia tendo hilo la utiaji
Sahihi
Viongozi
wa ngazi za juukutoka Wizara ya Fedha na Mipango wakishuhudia kitendo hicho cha
utiaji Sahini.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Lulu Diva Biography
Older Article
Mohammed Dewji ashinda tuzo ya Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) Bora Afrika 2017
Uchambuzi wa bajeti kuchochea ufanisi taasisi za umma
Hassani MakeroMar 24, 2025KAMPENI YA 'NO REFORM NO ELECTION' YAPOTEZA MWELEKEO RUKWA
Hassani MakeroMar 24, 2025TAMASHA LA KUOMBEA UCHAGUZI KUFANYIKA MIKOA YOTE TANZANIA
Hassani MakeroMar 24, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment