Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Ajumuika na Wananchi Katika Ibada ya Sala ya Ijumaa Masjid Mushawar Muembeshauri Zanzibar - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, June 21, 2024

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Ajumuika na Wananchi Katika Ibada ya Sala ya Ijumaa Masjid Mushawar Muembeshauri Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Kiislam katika kufuatilia khutba ya Ibada ya Sala ya Ijumaa ikisomwa na Sheikh.Ali Abdulrahaman Alhilal, kabla ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Mushawar Mwembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 21-6-2024 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman na (kushoto kwa Rais) Imamu Mkuu wa Masjid Mushawar Muembeshauri Sheikh Thabit Noman Jongo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasilia Waumini wa Dini ya Kiislam, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 21-6-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Imamu Mkuu wa Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjini Unguja Sheikh.Thabit Noman Jongo, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid hiyo leo 21-6-2024.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages