Huu Ndio Ujumbe wa Diamond kwa Raymond na Fahyma..!!! - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, April 21, 2017

Huu Ndio Ujumbe wa Diamond kwa Raymond na Fahyma..!!!


Diamond aibariki familia mpya ya msanii wa WCB, Rayvanny ambaye amepata mtoto wake wa kwanza wiki hii.

Ni furaha kuitwa baba au mama hasa katika kipindi ambacho ulichokuwa ukikisubiria kwa hamu. Wawili hao wamefanikiwa kupaa mtoto wa kiume ambaye wamempatia jina la Jayden.

Kupitia mtandao wa Instagram, amewapongeza Ray na Fahyma kwa kuandika,

Congrats @rayvanny & @Fahyma_ on your first Born! Inshaallah, Mwenyez Mungu awape Baraka, awalindie na wajalie kila lenye kheri ili Mumkuze vyema @jaydanvanny ..


Mpaka sasa wasanii wanne kutoka familia ya WCB wamefanikiwa kupata mtoto huku Harmonize akiwa bado.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages