Baadhi ya Wakuu wa Idara na wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wakiwa katika Gari kuelekea katika kusheherekea sherehe yao iliyofanyika Navy Beach Kigamboni Dar es Salaam jana
Baadhi ya wanakamati wakiwa katika picha ya pamoja wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Segla Mgaya (wa tano kushoto) ambaye ni Afisa Muuguzi wa hospitali hiyo
Mkurugenzi wa Uuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Agnes Mtawa akizungumza na wauguzi hao wakati wa kusheherehekea Get Together Party 2017 iliyofanyika Dar es Salaam jana April 22, katika Ukumbi wa Navy Beach Kigamboni ambapo alipata nafasi ya kuanza kutowa salamu kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Profesa Lawrence Museru kwakutofika. Mtawa alisema, pokeeni salamkutoka kwa mpendwa wetu Mkurugenzi, anawasalimia sana na kuwatakia heri katika sherehe hii na amesema Mungu akitupa uzima mwakani anaomba taarifa apate mapema iliaweze kuserebuka nasi na kwakumalizia salamu hizo alisema pia naomba mpoke salam zake.
Mkurugenzi wa Uuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili, Agnes Mtawa akizindua mchezo wa mazoezi kwa kuruka kamba mbele ya Wauguzi (pichani hawapo) wakati wa kusheherehekea, Get Together Party 2017 iliyofanyika Dar es Salaam jana April 22, 2017 katika Ukumbi wa Navy Beach Kigamboni , ambapo kulikuwa na michezo mbalimbali ya kuchangamsha mwili ikiwemo, kuruka kamba, kucheza karata, kuogele, kucheza mpira na Burudani ya nyimbo mbalimbali kutoka kwa kikundi cha wasanii cha wauguzi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, michezo hiyo iliyoratibiwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Segla Mgaya.
Meneja wa Tawi la Benki NMB Muhimbili, (jina halikupatikana mara moja) akizungumza na wauguzi hao akisisitiza, anaomba kushirikiana na Wauguzi hao, hayo aliyasema wakati wa Sherehe ya ‘Get Together Party 2017’, iliyofanyika Dar es Salaam jana katika Ukumbi wa Navy Beach Kigamboni, alianza kwa kusema,
Mkurugenzi wa Uuguzi akiwasalimia wauguzi na kuanza kwa kumshukuru Mungu kwa kuwepo mahala hapa kwa siku ya leo.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi, Segla Mgaya (kulia) akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa Uuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili Agnes Mtawa, wanaoshuhudia ni wanakamati
No comments:
Post a Comment