WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA, ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI (TPC) - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Wednesday, May 3, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA, ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI (TPC)

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiangalia Mitambo mipya inayofungwa katika Kiwanda cha kutengeneza  Sukari cha TPC, Kilichopo Mkoani Kilimanjaro, Waziri Mkuu alitembelea Kiwanda hicho hivi karibuni
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  akipata maelezo Kutoka  kwa Afisa Utawala wa TPC aliyeshika kofia Bwana Jafari Ally kuhusiana na Shughuli zinazo endelea katika kiwanda cha Kutengeneza  Sukari cha TPC, Kushoto kwa Waziri Mkuu  aliyevaa shati jeupe ni Meneja wa kiwanda Bwana Pascal Petiot, Waziri Mkuu alitembelea Kiwanda  hicho hivi karibuni.
 Waziri Mkuu  Kassim  Majaliwa, akipata maelezo  Kutuko  kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Sukari cha (TPC) Bwana Robert  Baissac,  kuhusu mbegu za kisasa za Miwa zinazozalishwa  kitika Shamba Darasa la Kiwanda cha Sukari cha TPC Kilichopo  Mkoani Kilimanjaro Waziri Mkuu alitembelea Kiwanda  hicho hivi karibuni
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  akipata maelezo  kutoka kwa  Meneja wa Kiwanda cha Sukari (TPC) Bwana  Pascal Petiot  kuhusiana na Mitambo Mipya ya Kompyuta ambazo zimefungwa  ili kuongeza Ufanisi Katika Kiwanda  cha TPC Kilichopo Mkoani Kilimanjaro, Waziri Mkuu alitembelea Kiwanda hicho hivi karibuni
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  akisalimiana na kiongozi wa Chama  cha Wafanyakzi  wa kiwanda cha Sukari  TPC (TASIWU)  Bwana Bilali Omari, waliopo katikati aliyeva Tisheti ni Mkurugenzi Mtendaji wa TPC Bwana Robert Baissac na Meneja wa Kiwanda hicho Bwana  Pascal  Petiot, Waziri Mkuu alitembelea Kiwanda  hicho hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages