SHEREHE YA MCHAPALO YA KUSHEREHEKEA MIAKA 54 YA MUUNGANO YAFANA WASHINGTON, DC - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Friday, April 27, 2018

demo-image

SHEREHE YA MCHAPALO YA KUSHEREHEKEA MIAKA 54 YA MUUNGANO YAFANA WASHINGTON, DC

IMG_6855
Mapokezi wakihakikisha kila mgeni anapokelewa vizuri na kwa ukarimu kwenye mchapalo wa kusherehekea sikukuu ya miaka 54 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliofanyika siku ya Alhamisi April 26, 2018, Washington, DC katika hotel ya Fairmont Washington na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo Waheshimiwa Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchi Marekani. Picha na Vijimambo Blog na Kwanza Production chini ya udhamini wa Kilimanjaro Studio.
IMG_6859
Kulia ni Balozi wa Tanzania nchiniMarekani Mhe. Wilson Masilingi akifuatiwa na mkewe Marystela Masilingi wakiwa pamoja nae Mwambata wa jeshi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Canada, Brigedia Jenerali Adolph Mutta na mkewe wakijiandaa kupokea wageni waalikwa kwenye mchapalo wa kusherehekea sikukuu ya miaka 54  ya Muungano  wa Tanganyika na Zanzibar uliofanyika siku ya Alhamisi April 26, 2018, Washington, DC katika hotel ya Fairmont Washington na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo Waheshimiwa Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchi Marekani.
IMG_6864
 Wageni wakiwasili huku wakisalimiana na Mhe. Balozi Wilson Masilingi, mkewe Marystela Masilingi,Mwambata wa jeshi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Canada, Brigedia Jenerali Adolph Muta na mkewe.
IMG_6865
Mhe. Balozi Wilson Masilingi, Mkewe Marystela Masilingi, Mwambata wa jeshi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Canada, Brigedia Jenerali Adolph Mutta na mkewe wakipiga picha ya kumbukumbu na wageni waalikwa waliokuwa wakiingia ukumbini..
IMG_6986
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi na mkewe Marystela Masilingi wakiwa na mgeni wao. Bwn Eric Stromayer mwakilishi kutoka  Deperttment of State (Duputy AssistantSecretary Bereau of Africa Affairs ambaye ndiye aliyekua mgeni rasmi  wakiwa wamesimama kwa nyimbo za Taifa Tanzania na Marekani.
IMG_6981
Mshereheshaji Julia Nyerere akisisitiza jamabo na kuelezea utaratibu wa kitu gani kinafuata
IMG_7014
Balozi Mhe. Wilson Masilingi akisoma hotuba yake. Aliyelezea mambo mbalimbali ikiwemo kuitangaza Tanzania katika maswala ya utalii ikiwemo uhusiano mzuri kati ya Tanzania na Marekani. Katika hotuba hiyo Mhe. Balozi Wilson Masilingi aliongelea jinsi ya nchi ya Tanzania ilivyokua na amani na salama kwa watalii kwenda Tanzania kwenda kujionea vivutio mbalimbali na katika kuimarisha utalii, Serikali ya awamu ya tano chini ya Rasi Mhe. Dkt John Pombe Magufuli amenunua ndege sita za usafiri za ATCL zikiwemo tatu ambazo zimeshaanza kufanya kazi na zinginge tatu zitawasili ifikapo mwezi wa June mwaka huu ikiwemo ndege kubwaya Dreamline. Katika sherehe hiyo video ya vivutio mbalimbali zikiwemo mbuga zetu za hifadhi ya taifa zilikua zikionyeshwa.
IMG_7015
 Bwn Eric Stromayer mwakilishi kutoka  Deperttment of State (Duputy AssistantSecretary Bereau of Africa Affairs ) akisoma hotuba yake na kuelezea uhusiano wa Marekani na Tanzania tangia zaiara ya baba wa taifa mwalimu Julius Nyerere alivyotembelea Marekani mwaka 1963 enzi hizo ikiongozwa na Rais John Kennedy.

IMG_6990
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akiendelea kutoa hotuba yake.
IMG_6992
Wageni waalikwa wakifuatilia hotuba ya Balozi Mhe. Wilson Masilingi.
IMG_6995
IMG_7011
Tosi ikifanyika.
IMG_6993
IMG_6994
IMG_6998
IMG_6999
IMG_7000
IMG_7002
IMG_7005
IMG_7007
IMG_7009

IMG_6982
IMG_6983

IMG_7025
IMG_7026
IMG_7027
IMG_7028
IMG_7031
IMG_7032
IMG_7033
IMG_7034

IMG_7041
IMG_7044
IMG_7045
IMG_6881
IMG_6872
IMG_6873
IMG_6871
IMG_6896
IMG_6897
IMG_6898
IMG_6913
IMG_6914
IMG_6915
IMG_6916
IMG_6917
IMG_6944
IMG_6950
IMG_6951
IMG_6952
IMG_6953

IMG_6966
IMG_6967
IMG_6968
IMG_6969
IMG_6970
IMG_6971
IMG_6972
IMG_6973
IMG_6974
IMG_6975
IMG_6976
IMG_6978
IMG_6979
IMG_6955
IMG_6921
IMG_6866
Juu na chini ni Balozi Mhe. Wilson Masilingi, mkewe Marystela Masilingi, , Mwambata wa Ubalozi wa Tanzania na Canada, Brigedia Jenarali Adolph Mutta na mkewe wakipiga picha ya pamoja na wageni waalikwa walipokua wakiingia.

IMG_6869
IMG_6870
IMG_6874
IMG_6875
IMG_6876
IMG_6877
IMG_6878
IMG_6879
IMG_6880
IMG_6882
IMG_6883
IMG_6884
IMG_6885
IMG_6886

IMG_6888
IMG_6889

IMG_6891

IMG_6893
IMG_6894
IMG_6895
IMG_6899
IMG_6900
IMG_6901
IMG_6902
IMG_6904
IMG_6905
IMG_6907
IMG_6908
IMG_6909
IMG_6910

IMG_6912
IMG_6918
IMG_6919
IMG_6922
IMG_6923
IMG_6924
IMG_6925
IMG_6926
IMG_6927
IMG_6928
IMG_6929
IMG_6930
IMG_6931
IMG_6932
IMG_6933
IMG_6934
IMG_6935
IMG_6936
IMG_6937
IMG_6938
IMG_6939
IMG_6940
IMG_6941
IMG_6942
IMG_6943
IMG_6945
IMG_6946
IMG_6947
IMG_6948
IMG_6949
IMG_6954
IMG_6956
IMG_6957
IMG_6958
IMG_6959
IMG_6960
IMG_6961
IMG_6962
IMG_6963
IMG_6964
IMG_7048
IMG_7053
IMG_7039
IMG_7056

IMG_7058
IMG_7029
IMG_7030

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *