WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB WAISAIDIA HOSPITALI YA OCEAN ROAD - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Thursday, June 25, 2020

WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB WAISAIDIA HOSPITALI YA OCEAN ROAD

Benki ya NMB wakati wote inaamini katika kugusa na kubadili maisha ya wanajamii. Ushiriki wa Wafanyakazi katika programu za kuisaidia jamii umeongezeka maradufu ukichangiwa zaidi na ari waliyonayo kutaka kupunguza changamoto na kero zilizopo kwenye jamii inayowazunguka na wanayoihudumia.

Kaimu Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Dar es Salaam, Seka Urio (kushoto) akimkabidhi vifaa vya Hospitali Kaimu Mkurugenzi wa Tiba wa Taasisi ya Ocean Road, Dk. Asafu Munema ikiwa ni michango ya wafanyakazi wa Benki ya NMB Kanda ya Dar es Salaam.
Sehemu ya vifaa vilivyotolewa na wafankazi wa Benki ya NMB kwa Hospitali ya Ocean Road.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages