Muathirika wa dawa za kulevya aliejiandalia kaburi na jeneza lake - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Friday, March 3, 2017

demo-image

Muathirika wa dawa za kulevya aliejiandalia kaburi na jeneza lake

94901544_dublinmanjohnedwardsburiedalive031+%25281%2529
Nafahamu umeshakutana na story nyingi za watu ambao hutoa maagizo kwa ndugu zao kwamba siku wakifa wazikwe kwa majeneza gani au kuchagua sehemu za kuzikwa, leo nakukutanisha na hii ya Dubliner John Edwards, mwenye umri wa miaka 61.
Huyu ni raia wa Ireland Kaskazini ambaye ni muathirika wa dawa za kulevya, naambiwa ameamua kuchimba kaburi lake na kutengeneza Jeneza ili siku akifa azikwe hapo.
Edwards, ambaye amepoteza zaidi ya marafiki zake 20, baadhi yao kwa kujiua kutokana na dawa za kulevya, kupitia kile alichosema: “Kukutana na ajabu ya Mungu miaka 27 iliyopita”, ameamua kuanzisha kituo kitoacho huduma ya malazi na makazi kwa ajili ya watu hao.
94903547_pacemaker_john_edwards__buried_alive__at_willowfield_church_19

94903549_johnedwardslivechat

94901548_dublinmanjohnedwardsburiedalive015

94901544_dublinmanjohnedwardsburiedalive031

94900768_dublinmanjohnedwardsburiedalive001

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *