Wednesday, March 22, 2017

SHERIA IMERUHUSU KUDAI ZAWADI ULIZOTOA UCHUMBA UNAPOVUNJIKA.
Una mahusiano na mwanaume au mwanamke ambaye kimsingi mpo katika
uchumba. Unampa zawadi nyingi naye anakupa zawadi. Mnayo ahadi ya kufunga ndoa
na kuishi kama mme na mke . Na kwasababu hiyo unajitoa sana kimatumizi kwa mtu
huyo.
Lakini katika mazingira usiyoyaelewa unaona sasa mambo hayaendi vizuri.
Hayaendi vizuri katika kiwango ambacho sasa mahusiano yamevunjika kabisa.
Hakuna tena mahusiano. Au bado yapo lakini kwa mambo unayofanyiwa unaona kabisa
hutakiwi tena.
Kumbuka huko nyuma umegharamia sana. Umegharamia kwa fedha na mali.
Swali ni je vitu hivi haviwezi kurudishwa ?. Vitu hivi haviwezi kufidiwa ?. Na
je sheria imeongelea kuhusu jambo hili ?.
Majibu ya maswali haya yote ni ndiyo. Ni ndiyo, na gharama pamoja nazo
zawadi zinaweza kurejeshwa. Unaweza kushangaa kuona sheria imeongelea hata
mambo ya uchumba lakini ndio ukweli.
Wengi tunaijua sheria katika kuongelea wizi, dhamana, mikataba,
mirathi, ndoa, na mengine. Lakini ni vyema tukajua kuwa sheria ni pana na
imeongelea mambo mengi mno. Hili la uchumba nalo ni sehemu ya yaliyoongelewa.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
KILUPI: ATAKA KURA ZA MAONI ZISIWAGAWE WANACCM
Hassani MakeroApr 14, 2025Dkt.Dimwa - Akemea Rushwa Mchakato wa Kura za Maoni
Hassani MakeroApr 14, 2025WAZIRI ULEGA AWAOMBA TET KUENDELEZA TUZO YA TAIFA YA MWALIMU NYERERE YA UANDISHI BUNIFU
Hassani MakeroApr 14, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment