Wednesday, March 22, 2017

Home
KITAIFA
TANAPA YAWAPA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI NA UPIGAJI PICHA WAHIFADHI UJIRANI MWEMA NCHINI
TANAPA YAWAPA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI NA UPIGAJI PICHA WAHIFADHI UJIRANI MWEMA NCHINI
Shirika la Hifadhi za
Taifa Tanzania (TANAPA) katika kuhakikisha kuwa linaboresha mawasiliano yake
baina ya wananchi wanaoishi maeneo jirani na hifadhi wameamua kuwapa mafunzo
maalum ya wiki moja yanayolenga kuwajengea uwezo Wahifadhi Ujirani Mwema katika
kutekeleza majukumu yao ya kila siku hususan utoaji wa Elimu ya Uhifadhi kwa
wananchi wanaoishi jirani na maeneo ya hifadhi nchini.Miongoni mwa mammbo
ambayo wameweza kujifunza ni utoaji taarifa kwa njia ya habari. Ilikufanikisha
hilo TANAPA imewapa mafunzo ya kitaalam maofisa wake hao katika mafunzo
yanayoendelea mjini Dodoma. Pichani juu ni Mhariri wa Habari Mwandamizi wa
Machapisho ya Mwisho wa wiki ya Gazeti la Habarileo, kutoka Kampuni ya Magazeti
ya Serikali (TSN), Oscar Mbuza akitoa mafunzo ya uandishi bora wa habari za
kijamii kwa maofisa hao.
Maofisa Uhifadhi Ujirani
mwema kutoka hifadhi mbalimbali nchini wakifuatilia kwa umakini mafunzo hayo ya
uandishi wa habari.
Maranyingi habari
huendana na picha, ili somo hilo la Habari liwezuri na liende sawa maofisa hao
pia walipewa mafunzo ya namna ya upigaji picha bora za Habari na namna ya
kutumia Kamera. Mpigapicha Mwandamizi wa Magazeti ya Serikali (TSN), Mroki
Mroki alitoa mafunzo hayo kikamilifu.
Muda wa majadiliano
ulikuwepo baada ya kutoa mada, ambapo pia maswali yaliulizwa na kujibiwa.
Washiriki wakifuatilia
kwa umakini somo la upigaji picha.
Mkurugenzi Mkuu wa
Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Allan Kijazi nae alishiriki mafunzo hayo
kama mwenyekiti wa mafunzo.
Washiriki wakiendelea na
mafunzo.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
RATIBA YA VPL YAPANGULIWA TENA
Older Article
WAFANYABIASHARA MACHINGA COMPLEX JIJINI DAR ES SALAAM WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA
SERIKALI YATOA MWEZI MMOJA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE 2024 KUBADILISHA MACHAGUO YA TAHASUSI ZA KIDATO CHA TANO
Hassani MakeroApr 02, 2025WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA KUOMBEA UCHAGUZI MKUU MWAKA HUU
Hassani MakeroApr 02, 2025Rais Samia ahutubia Baraza la Eid El Fitr Jijini Dar es Salaam
Hassani MakeroMar 31, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment