Baada ya kuonyeshwa week mbili mfululizo Mlimani
City Century Cinemax Tanzania na Mombasa.
Filamu ya #KIUMENI na #GOINGBONGO now
zinapatikana Sokoni.
Filamu hii inaonyesha ni kwajinsi gani
Watanzani tunaweza kufanya makubwa sana tukiachana na hizi Siasa za filamu
haiwezi kuuzwa bila Supa Staa!
Timoth Conrad ni Director Bora nchini Tanzania alisema haya kwenye ukurasa wake wa Facebook: “Tunaposema mabadiliko ya soko la filamu ni pamoja na juhudi zinazofanywa na wandaaji na watengenezaji wa filamu hii ya #kiumeni big up! Hapa ndo nawakumbusha wale wengine kuwa soko la filamu linawezekana bila mhindi. Mwenye akili kashaelewa...”
Ukihitaji Piga namba 0717031003 kutoa oda ili
uletewe mahali ulipo, hii ni kwa wakazi wa Dar.
Itafute upate kitu kitamu na kizuri achana na
zile za stori nyepesi nyepesi zilizojaa kariakoo!
No comments:
Post a Comment