Friday, May 19, 2017

AFCON NA MCHECHE WA SERENGETI BOYS
Baada ya Serengeti
boys kuonesha kiwango kizuri jana katika mchezo dhidi ya Angola na kuibuka na
ushindi wa 2-1, mchezaji wa Serengeti boys Abdul Suleiman ambae aliibuka
mchezaji bora wa mechi hiyo.
Alitiliwa mashaka na
timu ya uchunguzi wa madawa ya kusisimua misuru na kupelekwa kufanyiwa vipimo
hali iliyomfanya asipate muda wa kwenda kupokea tuzo yake ya MCHEZAJI bora na
badala yake alienda kupokelewa na mchezaji mwenzake Dickson Job.
Tags
# MICHEZO
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI KUU TANZANIA
Hassani MakeroMar 08, 2025WAKAZI WA DAR WAJITOKEZA KUCHUKUA NAMBA KUSHIRIKI MBIO ZA YAS KILI INTANATION HALF MARATHON
kilole mzeeFeb 15, 2025KOCHA WA YANGA APEWA MKONO WA KWAHERI
Hassani MakeroFeb 04, 2025
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment