Friday, April 27, 2018

Home
SKONGA
BENKI YA ACCESS YATOA MSAADA KOMPYUTA 10, MEZA PAMOJA NA VITI SHULE YA SEKONDARI TURIANI KINONDONI
BENKI YA ACCESS YATOA MSAADA KOMPYUTA 10, MEZA PAMOJA NA VITI SHULE YA SEKONDARI TURIANI KINONDONI
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akikabidhi moja ya kompyuta 10 kwa Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam zilizotolewa na benki ya Access kwa shule hiyo Baadhi ya vitu vingine vilivyotolewa na benki ya Access kwa shule hiyo ni pamoja na viti 10na meza za kompyuta 10 wanaoshuhudia tukio hilo kulia ni Mwanafunzi Amina Ibony wa kidato cha IV na Nasib Masenga Kidato cha IV.
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akiwa na Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam mara baada ya kukabidhi kompyuta hizo kutoka kulia ni Benedig Mfoi Meneja Uendeshaji Camara Education Foundation Tanzania.
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akizungumza mara baada ya kukabidhi kompyuta hizo kulia ni Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akimsikiliza Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam wakati alipokuwa akisoma risala ya shule mara baada ya kupokea kompyuta 10 kutoka Benki ya Access ya jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Turiani wilaya ya Kinondoni wakitumia kompyuta mara baada ya kukabidhiwa na benki ya Access leo jijini Dar es salaam.
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona na Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam wakiwaelekeza namna ya kutumia kompyuta hizo mara baada ya kukabidhiwa shuleni hapo leo.
Baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo wakifurahia wakati walipopewa taarifa ya kuletewa kompyuta hizo na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bw. Izungo Angalo kutoka Benki ya Access ya jijini Dar es salaam.
Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam akitoa taarifa ya kupokelewa kwa kompyuta 10 kutoka Benki ya Access.
Tags
# SKONGA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
CSI yatoa msaada wa vifaa tiba kwa wakina mama wajawazito hospitali ya Mnazi Mmoja
Older Article
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YATEMBELEA SOKO KUU LA KIBAIGWA
SKONGA
Labels:
SKONGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment