Lulu Diva: Siwezi Kupata Mtoto Sasa Hivi Labda Miaka 5 au 6 Inayokuja - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Thursday, May 10, 2018

demo-image

Lulu Diva: Siwezi Kupata Mtoto Sasa Hivi Labda Miaka 5 au 6 Inayokuja

1F7F1326-AE4B-4C9B-A859-C111E440884F

Mwanadada Lulu Diva amefunguka na kusema kuwa hatokaa kubadilisha msimamao wake wa kupata mtoto sasa hivi kwa sababu hana  mpango wa kupata mtoto kwa sasa kama ambavyo alishasema tangu hapo awali,

Kuna kipindi cha hapo awali kulikuwa na tetesi kuwa Lulu Diva alishapata mtoto huku awali lakini mtoto huyo amemuacha kwa mama yake na kwamba hataki watu wajue kama anamtoto, kitu ambacho Lulu Diva mwenyewe alikanusha na kusema kuwa amekuwa akikaa na watoto wa ndugu zake wengi kwahiyo hana mtoto wala hategemei kupata mtoto kwa sasa.

"Kama mtoto nilishasemaga kuwa siwezi kupata mtoto sasa hivi labda miaka 5 au 6 inayokuja not now, maana sio kitu cha kukimbilia."

Akiongea na waandishi wa habari alipokuwa katika ufunguzi wa car wash ya Perfect Chrispin, Lulu Diva anasema kuwa kwa sasa amejikita kuwekeza zaidi katika kilimo kwa sababu kuna mashambe mengi ya mama yake ambayo ameachiwa na marehemu baba yake kwaio akiwa kama mtoto mkubwa kwenye familia yao ameona ni bora kuyafanyia kazi mashamba hayo.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *