RAIS DKT.MWINYI ATETA NA BALOZI MPYA WA CHINA NCHINI TANZANIA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Wednesday, March 23, 2022

demo-image

RAIS DKT.MWINYI ATETA NA BALOZI MPYA WA CHINA NCHINI TANZANIA

DSC5563-2048x1303
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi mpya wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe.Chen Mingjian alipofika Ikulu jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha akiwa na Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Watu wa China anayefanyika kazi zake Zanzibar, Mhe. Zhang Zhzsheng. (Picha na Ikulu).
DSC5607-scaled
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi Mpya wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian alipofika Ikulu jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
DSC5620-scaled
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi Mpya wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian alipofika Ikulu jijini Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo na kujitambulisha mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
DSC5643-scaled
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa picha na Balozi mpya wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe.Chen Mingjian, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar, alipofika kujitambulisha.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *