KAMATI YA BAJETI YATETA NA SEKTA YA UJENZI - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Wednesday, May 11, 2022

KAMATI YA BAJETI YATETA NA SEKTA YA UJENZI

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti katika kikao kazi kati ya Kamati hiyo na wataalam wa Sekta ya Ujenzi kilichofanyika jijini Dodoma, kulia kwa Naibu Waziri ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye ni Mbunge wa Babati Vijijini Mhe. Daniel Sillo akifuatilia.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Mhe. Daniel Sillo akisisitiza jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya na wataalam wake katika kikao kazi kati ya Sekta ya Ujenzi na Kamati hiyo.
Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya akifafanua jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti (hawapo pichani), katika kikao kazi kati ya Kamati hiyo na wataalam wa Wizara ya Ujenzi kilichofanyika jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages