Thursday, March 30, 2017

JE UNALIFAHAMU GARI AINA YA AJBAN 440A?
AJBAN
440A ni aina ya gari la Kivita maalum kabisa lililobuniwa na kutengenezwa na
kampuni ya magari ya Kivita iitwayo NIMR Automotives, iliyopo huko UAE (muungano
wa falme za kiarabu).
Gari
hili lina uwezo wa kubeba askari wanne, dereva akiwamo. Limetengenezwa kwa
teknolojia ambayo inalifanya haliwezi kupenyezwa na risasi hata ktk vioo vyake.
Pia lina teknolojia ya kisasa kabisa inayoweza kutambua Bomu lililotegwa
ardhini mita 100 kutoka linapoelekea au pembeni yake. Hivyo kumfanya dereva kukwepa kukanyaga Bomu hilo.
Hapo juu katika paa lake utaona
mtutu wa Heavy Machine Gun(HMG) ambapo 12.7mm rounds huweza tumika, mtutu huo
unatumia remote control. Pia linajilinda lenyewe kwa kuwa na uwezo wa kufyatua
"smoke grenades" 8 kwa mpigo au guruneti maalum zinazotoa moshi mzito
sana unaoziba eneo kubwa kwa haraka sana, na hivyo kumfanya dereva awakwepe
washambuliaji wake kwa kuhama eneo alilokuwepo kwa haraka.
Majaribio yake yamekuwa
yakifanyika huko Afghanistan, Iraq na mpakani mwa Pakistan na India, eneo la Kashmir.
Tags
# KIMATAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
JE UNAMJUA ALLY KLEIST SYKES?
Older Article
JE UNAFAHAMU MADHUMUNI YA USAJILI WA VYOMBO VYA MOTO?
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi
Hassani MakeroFeb 16, 2025RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA MSUMBIJI
Hassani MakeroFeb 15, 2025A Tanzania doctor receives International Award
kilole mzeeJan 15, 2025
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment