MANENO YA RC PAUL MAKONDA BAADA YA LULU KUHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 2 - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Tuesday, November 14, 2017

demo-image

MANENO YA RC PAUL MAKONDA BAADA YA LULU KUHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 2

untitled

Habari nyingine kubwa tangu jana na leo Tanzania ni kuhusu Mwigizaji wa Tanzania Elizabeth Michael “Lulu” kuhukumiwa miaka miwili jela kutokana na kesi iliyokua ikimkabili ya kuua bila kukusudia na kupoteza maisha ya Mwigizaji mwenzake aliekua pia mpenzi wake Steven Kanumba.

Watu mbalimbali maarufu na wasio maarufu wameonyesha hisia zao baada ya kupokea taarifa za hukumu hiyo ya Lulu ambapo mmoja wao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambae ameandika “Kunayo room kwenye kila situation, Baba anakuja“

untitled2


No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *