Tuesday, November 14, 2017

MANENO YA RC PAUL MAKONDA BAADA YA LULU KUHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 2
Habari nyingine kubwa tangu jana na leo Tanzania ni kuhusu Mwigizaji wa Tanzania Elizabeth Michael “Lulu” kuhukumiwa miaka miwili jela kutokana na kesi iliyokua ikimkabili ya kuua bila kukusudia na kupoteza maisha ya Mwigizaji mwenzake aliekua pia mpenzi wake Steven Kanumba.
Watu mbalimbali maarufu na wasio maarufu wameonyesha hisia zao baada ya kupokea taarifa za hukumu hiyo ya Lulu ambapo mmoja wao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambae ameandika “Kunayo room kwenye kila situation, Baba anakuja“
Tags
# FILAMU
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
CRISTIANO RONALDO AMEPATA MTOTO MWINGINE TENA
Older Article
WAAJIRI WASHAURIWA KUPELEKA MICHANGO KWA WAKATI NSSF
RAIS WA ZANZIBAR AMEKUTANA NA MUIGIZAJI WA FILAMU ZA KIHINDI
Hassani MakeroNov 09, 2021Serikali Kuanzisha Mfuko Wa Sanaa Na Utamaduni-Dkt.Abbasi
Hassani MakeroJul 09, 2020MATOKEO YA TUNZO YA TANO YA FILAMU INAYOTOLEWA NA MFUKO WA EMERSON'S ZANZIBAR FOUNDATION KUTANGAZWA JULAI 4
Hassani MakeroJul 02, 2020
Labels:
FILAMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment