Thursday, May 10, 2018

Sijawahi Kunyakua Bwana Wa Mtu- Thea
Msanii mkongwe wa Bongo movie Salome Urassa maarufu kwa Jina la usanii kama Thea, amefunguka na kuweka wazi kuwa katika maisha yake hajawahi hata siku moja kunyakua bwana wa mtu.
Watu maarufu hasa Kwenye tasnia ya Bongo fleva na Bongo movie wamekuwa wakinyosheana vidole na kutuhumiana kwa vitendo vya kuchukuliana mabwana au wanaume.
Kwenye mahojiano na Mwandishi wetu, Thea aliweka wazi kuwa, suala la kuibiana mabwana halipo kwa wasanii tu, bali ni kwa jamii nzima, lakini kwa upande wake hajawahi kumzunguka mtu kwa kuwa hiyo ni tabia ya mtu na kwake haipo.
"Kiukweli tangu niyajue mapenzi, sijawahi kuiba bwana wa mtu kwasababu siyo tabia yangu na siwezi kufanya hivyo, wanaochukua mabwana za watu ni tabia zao ambazo huwezi kuzibadilisha na hii haipo kwa wasanii tu, bali ni kwa jamii kwa jumla kwani tumekuwa tukisikia sana ila kwa wasanii wanaonekana zaidi kutokana na majina waliyonayo”.
Tags
# FILAMU
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA KATIKA OFISI NDOGO ZA CCM LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM
Older Article
Mr Sugu na mwenzake waachiwa huru mapema leo
RAIS WA ZANZIBAR AMEKUTANA NA MUIGIZAJI WA FILAMU ZA KIHINDI
Hassani MakeroNov 09, 2021Serikali Kuanzisha Mfuko Wa Sanaa Na Utamaduni-Dkt.Abbasi
Hassani MakeroJul 09, 2020MATOKEO YA TUNZO YA TANO YA FILAMU INAYOTOLEWA NA MFUKO WA EMERSON'S ZANZIBAR FOUNDATION KUTANGAZWA JULAI 4
Hassani MakeroJul 02, 2020
Labels:
FILAMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment