SAMATTA AFUNGUA UKAUNTI YA MABAO ULAYA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Friday, September 21, 2018

demo-image

SAMATTA AFUNGUA UKAUNTI YA MABAO ULAYA

mbwana-samatta-genk_13jnx276xzd0j17vx5u8w62spd
    NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta  amefunga bao la pili timu yake, KRC Genk ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Malmo FF ya Sweden katika mchezo wa Kundi L Europa League.
Samatta alifunga bao hilo dakika ya 71 Uwanja wa Luminus Arena, baada ya mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 23, Leandro Trossard kufunga bao la kwanza dakika ya 37.
Na Samatta ambaye Desemba 13 atatimiza miaka 26  amefikisha mabao 29 aliyofunga kwenye mechi za mashindano tangu ajiunge na Genk Januari mwaka 2016 akitokea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

MATOKEO YA MECHI NYINGINE.
Capture

Capture.JPG3

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *