akiagana na Mkuu wa jeshi la Magereza nchini, Phaustine Kasike, alipotembelea ofisini kwake Makao Makuu ya jeshi hilo jijini Dar es Salaam hivi karibuni
NBC, William Kallaghe pamoja na maofisa wa jeshi hilo.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Kasikeakizungumza katika kikao na uongozi wa Benki ya NBC, uliomtembeleaofinisi kwake, Makao Makuu ya Magereza jijini Dar es Salaam. Wanaomsikiliza kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi, pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Wateja wa Makampuni, Linley Kapya na kulia kwake ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Uwesu Ngarama, pamoja na Kamishna wa Huduma za Urekebishaji, Mhandisi Tusekile Mwaisabila. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
hilo.
No comments:
Post a Comment