Thursday, February 28, 2019

WAZIRI JAFO AIPONGEZA DCB KWA KUJIENDESHA KWA FAIDA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (wa pili kulia), akizungumza na waandishi wa habari wakati alipotembelea tawi la Benki ya Biashara ya DCB jijini Dodoma leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa, Mkurugenzi Mtendaji, Godfrey Ndalahwa na Meneja wa DCB Dodoma, Joseph Njile.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (katikati),akizungumza na waandishi wa habari wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemeni Jafo (wa pili kilia), akitembelea tawi la benki hiyo mjini Dodoma leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa na Meneja wa DCB Dodoma, Joseph Njile.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi (katikati), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto), wakati akitembelea tawi la benki hiyo mjini Dodoma leo. Kulia ni Mhasibu wa tawi hilo, Daniel Makyao.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (katikati waliokaa), akipiga picha na uongozi wa DCB pamoja na baadhi ya wateja waliokuwepo tawini hapo wakati wa ziara yake mjini Dodoma leo.
Tags
# BIASHARA
Share This
About kilole mzee
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Paralegals halted discrimination against a woman with disability
Older Article
NBC KUIMARISHA UHUSIANO WAKE NA JESHI LA MAGEREZA
Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
Hassani MakeroMar 11, 2025Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari Zanzibar, Yajivunia Ongezeko la Wateja
Hassani MakeroMar 07, 2025BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES, INAYOJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE-MBAGALA
Hassani MakeroMar 07, 2025
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment