Wednesday, September 18, 2019

Mbunge Amina Mollel ashauri wananchi kumtolea Mungu
Wananchi Mkoani Arusha,
wametakiwa kujitolea kwa mali na vitu walivyonavyo kwa ajili ya kumtumikia
Mungu ili waendelee kubarikiwa.
Rai hiyo, ilitolewa na
Mbunge viti Maalum wa Jimbo la Arumeru Magharibi, Amina Mollel, wakati wa
harambee ya umaliziaji wa jengo la Ibada katika Kanisa Katoliki Kigango cha
Lengijave wilayani Arumeru, mkoani hapa.
Katika harambee hiyo jumla
ya Sh. milioni 100, zilikuwa zinahitajika ili kukamilisha ujenzi wa nyumba hiyo
ya ibada.
Viongozi wengine
walioshiriki katika harambee hiyo ni Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na
Teknolojia, William Ole Nasha na baadhi ya viongozi wa dini kutoka maeneo
mbalimbali ya Mkoa wa Arusha.
Katika harambe hiyo, Jumla
ya Sh. milioni 14 zilipatikana ahadi ikiwa ni Sh. millioni 7.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
BALOZI WA FALME ZA KIARABU AMUUNGA MKONO RC MAKONDA KAMPENI YA MATIBABU YA UPASUAJI WA MOYO KWA KUMPATIA MADAKTARI BINGWA WA MOYO
Older Article
Benki Ya CBA Yaanza Kutoa Mikopo Ya Ujenzi
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO
Hassani MakeroMar 12, 2025"Stori za Afya za Wanawake wa Tanzania zina thamani kwetu", Absa Bank
Hassani MakeroMar 12, 2025HALMASHAURI KUU YA CCM YAPENDEKEZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA UTEUZI WA WAGOMBEA UONGOZI
Hassani MakeroMar 11, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment