Wednesday, September 4, 2019

Home
SKONGA
Taasisi ya SAP kupitia program ya INITIATIVE CODE WEEKS imeanza kutoa mafunzo ya Programming kwa walimu
Taasisi ya SAP kupitia program ya INITIATIVE CODE WEEKS imeanza kutoa mafunzo ya Programming kwa walimu
Mkurugenzi Ushirika na Uwajibikaji wa Jamii EMEA na Mkuu wa wiki
ya Code Afrika, Claire Gillissen (kulia), akizungumza na Walimu kutoka shule
mbalimbali wakati wa uzinduzi wa kutoa mafunzo ya Programming kwa walimu kutoka Tanzania na Afrika nzima yenyelengo la kukuza elimu mashuleni na na jamii nzima. uzinduzi huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa SAP, Liam Ryan, akizungumza na waandishi wa
habari wakati wa uzinduzi wa kutoa mafunzo ya Programming kwa walimu kutoka Tanzania na Afrika nzima yenyelengo la kukuza elimu mashuleni na na jamii. Uzinduzi huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam.
Afisa Miradi wa taasisi ya Apps and Girls, Jesca Mmari,
akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kutoa mafunzo ya Programming kwa walimu kutoka Tanzania na Afrika nzima yenyelengo la kukuza elimu mashuleni na na jamii. Uzinduzi huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mwalimu wa shule ya Sekondari ya Benjamini Mkapa akizungumza katika haflahiyo.
Kutokana na umuhimu wa teknolojia katika elimu na jamii
kiujumla kuongezeka,Kutokana na umuhimu wa teknolojia katika elimu na jamii
kiujumla kuongezeka,Taasisi ya SAP kupitia program ya INITIATIVE CODE WEEKS
imeanza kutoa mafunzo ya Programming kwa walimu kutoka
Tanzania na Afrika nzima kwa lengo la kuwafikia wanafunzi wengi na kutengeneza
msingi mzuri wa teknolojia kwa kizazi cha baadae.
Akizungumza
leo jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa mafunzo hayo Mkurugenzi Mkuu wa
SAP, Liam Ryan amesema kuwa SAP ikishirikiana na taasisi mbalimbali
wamemekusudia kwa dhati kutoa mafunzo kwa walimu zaidi ya mia tano kutoka
Tanzania na zaidi ya walimu elfu tano kutoka Afrika wakiwa na lengo la
kuwafikia wanafunzi na watoto zaidi ya milioni moja na nusu Afrika nzima.
Kwa upande
wake Afisa Miradi wa taasisi ya Apps and Girls, Jesca Mmari amesema kuwa
wanakusudia kuwafundisha walimu programu iitwayo scratch ambayo itatoa hamasa na hamu ya wanafunzi kupenda kujifunza
teknolojia ambpo amewataka walimu walioko kwenye mafunzo hayo wapende na
wajitume kujifunza kuhusu programu hiyo na teknolojia kwa ujumla
ili waweze kuwafundisha wanafunzi kikamilifu.
Akizungumza mmoja wa walimu katika mafunzo hayo,Mussa Awadhi kutoka shule ya sekondari Benjaminj
Mkapa, amesema kuwa programu ya scratch inamuwezesha mwanafunzi kuelewa
kwa urahisi masuala ya teknolojia kwani imetengenezwa kwa mfumo wa picha
(katuni)na ni rahisi kujifunzia. imeanza kutoa mafunzo ya Programming kwa walimu kutoka
Tanzania na Afrika nzima kwa lengo la kuwafikia wanafunzi wengi na kutengeneza
msingi mzuri wa teknolojia kwa kizazi cha baadae.
Akizungumza
leo jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa mafunzo hayo Mkurugenzi Mkuu wa
SAP, Liam Ryan amesema kuwa SAP ikishirikiana na taasisi mbalimbali
wamemekusudia kwa dhati kutoa mafunzo kwa walimu zaidi ya mia tano kutoka
Tanzania na zaidi ya walimu elfu tano kutoka Afrika wakiwa na lengo la
kuwafikia wanafunzi na watoto zaidi ya milioni moja na nusu Afrika nzima.
Kwa upande
wake Afisa Miradi wa taasisi ya Apps and Girls, Jesca Mmari amesema kuwa
wanakusudia kuwafundisha walimu programu iitwayo scratch ambayo itatoa hamasa na hamu ya wanafunzi kupenda kujifunza
teknolojia ambpo amewataka walimu walioko kwenye mafunzo hayo wapende na
wajitume kujifunza kuhusu programu hiyo na teknolojia kwa ujumla
ili waweze kuwafundisha wanafunzi kikamilifu.
Akizungumza mmoja wa walimu katika mafunzo hayo,Mussa Awadhi kutoka shule ya sekondari Benjaminj
Mkapa, amesema kuwa programu ya scratch inamuwezesha mwanafunzi kuelewa
kwa urahisi masuala ya teknolojia kwani imetengenezwa kwa mfumo wa picha
(katuni)na ni rahisi kujifunzia.
Tags
# SKONGA
Share This
About kilole mzee
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
WAZIRI KIGWANGALA AWAKATAA MABAHARIA
Older Article
BENKI YA KCB TANZANIA YADHAMINI LIGI KUU YA SOKA TANZANIA BARA 2019/20
Upatu: Mbinu yakujikwamua yenye tamu na chungu
Hassani MakeroJan 27, 2025FEZA Boys yatikisa ufahulu wa wanafunzi kidato cha nne
Hassani MakeroJan 23, 2025TIBA YA KWELI YA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)
Hassani MakeroNov 10, 2024
Labels:
SKONGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment