Thursday, July 2, 2020

NAIBU WAZIRI WA AFYA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA CCBRT
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Godwin Mollel leo Julai 2 alifanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya CCBRT iliyoko Msasani jijini Dar es Salaam
Dk. Mollel alifanya ziara hiyo isiyokuwa rasmi kwa lengo la kuona kazi nashughuli na huduma zinazofanywa katika hospitali hiyo na kuwashukuru wafanyakazi wa Hospitali hiyo pamoja na viongozi kiujumla kwa huduma wanazozitoa kwa jamii.
“Nawafahamu CCBRT na kazi mnazozifanya kwa muda mrefu sasa, nawapongeza kwa kazi nzuri, kama Serikali tunatambua mchango wa hospitali hii katika kuwahudumia watanzania, leo nimefika kusalimia kidogo lakini naahidi kuja rasmi ndani ya kipindi cha mwezi mmoja ili tuweze kupata wasaa wa kujadilina kwa kina juu ya kazi zenu”. Amesema Dk. Mollel.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWASHUKIA WAAJIRI WASIOWASILISHA MICHANGO NSSF, ATOA MAAGIZO MAZITO
Older Article
ELIMU YA FISTULA YA UZAZI PASUA KICHWA KWA JAMII
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO
Hassani MakeroMar 12, 2025"Stori za Afya za Wanawake wa Tanzania zina thamani kwetu", Absa Bank
Hassani MakeroMar 12, 2025HALMASHAURI KUU YA CCM YAPENDEKEZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA UTEUZI WA WAGOMBEA UONGOZI
Hassani MakeroMar 11, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment