Kutana na baba, mwanawe ambao ni marubani Air Tanzania! - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Thursday, August 27, 2020

Kutana na baba, mwanawe ambao ni marubani Air Tanzania!


Arif Jinnah na mwanawe Amour Arif mwenye umri wa miaka 21 ni marubani shupavu katika Kampuni ya Shirika la ndege la Air Tanzania!

Jinnah anafahamika kwa kuendesha ndege ya Airbus A220 ilhali mwanawe ambaye ni msaidizi (Afisa wa kwanza) wake anarusha ndege aina ya Bombardier Q400. Amour ameripotiwa kuwa ndiye rubani mwenye umri mdogo sana katika shirika la safari za ndege nchini Tanzania.

Kwa mtazamo wa picha, wawili hao wanafanana kama shilingi kwa ya pili na ni rahisi sana mtu kukosa kuwatofautisha.

Capt. Arif Jinnah amekuwa rubani kwa zaidi ya miaka 33 na ametajwa kuwa bora zaidi nchini humo.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages