Thursday, August 27, 2020

Kutana na baba, mwanawe ambao ni marubani Air Tanzania!
Arif Jinnah na mwanawe Amour Arif mwenye umri wa miaka 21 ni marubani shupavu katika Kampuni ya Shirika la ndege la Air Tanzania!
Jinnah anafahamika kwa kuendesha ndege ya Airbus A220 ilhali mwanawe ambaye ni msaidizi (Afisa wa kwanza) wake anarusha ndege aina ya Bombardier Q400. Amour ameripotiwa kuwa ndiye rubani mwenye umri mdogo sana katika shirika la safari za ndege nchini Tanzania.
Kwa mtazamo wa picha, wawili hao wanafanana kama shilingi kwa ya pili na ni rahisi sana mtu kukosa kuwatofautisha.
Capt. Arif Jinnah amekuwa rubani kwa zaidi ya miaka 33 na ametajwa kuwa bora zaidi nchini humo.
Tags
# SKONGA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Kwa nini Clouds Tv na Clouds Fm wamefungiwa na TCRA?
Older Article
ECOBANK GROUP WINS THE AWARD FOR INNOVATION IN FINANCIAL SERVICES FROM AFRICAN BANKER
Upatu: Mbinu yakujikwamua yenye tamu na chungu
Hassani MakeroJan 27, 2025FEZA Boys yatikisa ufahulu wa wanafunzi kidato cha nne
Hassani MakeroJan 23, 2025TIBA YA KWELI YA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)
Hassani MakeroNov 10, 2024
Labels:
SKONGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment