Akizungumzia msaada huo, Balile alisema utasaidia katika masuala mbalimbali ya Jukwaa hilo ikiwa na pamoja na mkutano mkuu na kutoa shukurani na kuwataka wawekezaji wengine kuiga mfano kama huo.
Wahariri wa vyombo vya habari waliokitembelea kiwanda hicho wakiwa katika kusubiri maelekezo kutoka kwa wenyeji wao.
Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho, Renhardt Swart, Afisa Uzalishaji wa kiwanda hicho, Beni Lema na mmoja wa maofisa wa kiwanda hicho wakiteta jambo.
Afisa Mawasiliano na Masoko kiwanda cha Saruji cha Simba Cement Tanga, Hellen Maleko, (kulia) akiwakabidhi hundi yenye mfano wa shilingi milioni 14 Wahariri wa Jukwaa la vyombo vya habari mara baada ya kutembelea kiwanda hicho ikiwa ni msaada katika mambo yao mbalimbali ukiwemo mkutano wao mkuu unaoendelea Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Wahariri kutoka vyombo mbalimbali wakiangalia eneo la uchimbaji wa Material Kware kilometa 2 kutoka ndani ya eneo la kiwanda.
No comments:
Post a Comment