Monday, May 8, 2017

Wavuvi
katika bwawa la Mabayani Pande Mkoani Tanga wakimuonyesha samaki aina ya Mkunga
waliemvua jana, Samaki huyo walimuuza kwa shilingi 10,000.
Bwawa
la Mabayani ndio linalotegemewa kwa matumizi ya maji Tanga ambapo kwa sasa watu
wanaoshukiwa kuwa wachimbaji wa madini kwenye vyanzo vya maji katika milima ya
Amani Wilayani Muheza wamekuwa wakiyachafua hali ambayo Mamlaka ya maji safi na
Maji taka ikipambana na kuhakikisha maji hayo hayachafuliwi.
Hata
hivyo kwa uharibifu huo Mamlaka ya Maji safi na Majitaka imekuwa
ikigharamika kuhakikisha maji hayo licha ya kubadilika rangi hayana madhara
kwa mtumiaji.
Tanga
Uwasa imekuwa ikifanya ziara mara kwa mara katika vyanzo vya maji katika Milima
ya Amani na kuwataka wachimbaji madini kuacha kuchimba kwa madai kuwa kipindi
hiki cha mvua bwawa lake hupokea maji yenye rangi ya tope tope.
Tags
# BIASHARA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
MSIMAMO LIGI KUU ENGLAND MEI 2017
Older Article
WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WAANDISHI LEO
Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
Hassani MakeroMar 11, 2025Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari Zanzibar, Yajivunia Ongezeko la Wateja
Hassani MakeroMar 07, 2025BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES, INAYOJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE-MBAGALA
Hassani MakeroMar 07, 2025
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment