Friday, May 19, 2017

'UNTOLD STORI' YAWA GUMZO MAKUMBUSHO YA TAIFA DAR ES SALAAM
Mhusika mkuu katika Mchezo wa Jukwaani wa 'UNTOLD
SORY ' Amani Kipimo akiwa jukwaani katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini
dar es Salaam.
Sehemu ya Waigizaji wa mchezo wa kuigiza wa Untoldy Story wakiwa
jukwaani wakati wa utambulishwaji wa mchezo huo
Msanii mkongwe wa Luninga na Jukwaani Susan Lewis ‘Natasha’ akiwa na
Mhusika mkuu wa mchezo wa Untold Story Amani Kipimo 'Ngasu'
Sehemu ya watu waliofika kushuhudia mchezo huo wa Untold Story ambao
ulibua hisia na kuwa gumzo kwa watu wengi sana
Baadhi ya waigizaji wa mchezo huo wa jukwaani wakionyesha uwezo wao wa
kucheza na jukwaa
Rais wa Shirikisho la Filamu nchini Simon Mwakifamba akisiamama kwa
heshima mara baada ya kuona mchezo huo ambao ulivuta hisa za wengi
Moja ya sehemu za mchezo huo wa kuigiza ukiwa jukwaani
Mwanamuziki wa maharufu wa Injili Tanzania na ukanda wa Afrika
Mashariki David Robert aliyevaa T Shirt Nyekundu akishuhudia igizo hilo la
Untold Story
Sehemu ya waigizaji wa igizo hilo
Tags
# FILAMU
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
OPERESHENI YA DOREEN YAFANIKIWA MAREKANI
Older Article
VICHWA VYA MAGAZETI LEO TAREHE 19 MEI 2017
RAIS WA ZANZIBAR AMEKUTANA NA MUIGIZAJI WA FILAMU ZA KIHINDI
Hassani MakeroNov 09, 2021Serikali Kuanzisha Mfuko Wa Sanaa Na Utamaduni-Dkt.Abbasi
Hassani MakeroJul 09, 2020MATOKEO YA TUNZO YA TANO YA FILAMU INAYOTOLEWA NA MFUKO WA EMERSON'S ZANZIBAR FOUNDATION KUTANGAZWA JULAI 4
Hassani MakeroJul 02, 2020
Labels:
FILAMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment