Monday, April 30, 2018

Ndiyo hivyo, Simba imeshinda ndani na nje ya uwanja. Goli pekee la Erasto Nyoni kwenye pambano la Kariakoo Derby limeipa Simba pointi tatu na kuendelea kuusogelea ubingwa wa VPL msimu huu.
Ukiachana na ushindi huo, ushindi mwingine Simba wameupata nje ya uwanja ambapo wafanya biashara wa jezi wamethibisha kwamba katika mchezo huo wameuza jezi nyingi za Simba kuliko Yanga.
Wor'Out Media imefanya mahojiano na baadhi ya wauzaji wa jezi ambao wamekiri kupata kitita cha maana kutokana a mauzo ya jezi za Simba huku Okwi, Kichuya, Kwasi na Mkude wakiongoza kwa mauzo.
Hata uwanjani mashabiki wa Simba walionekana ni wengi ukilinganisha na watani zao kwa mujibu wa ukaaji. Upande ambao hukaa mashabiki wa Simba ulipendezeshwa na rangi nyekundu na nyeupe wakati upande wa Yanga kuna viti vingi vilikuwa havina watu.
Tags
# MICHEZO
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA IRINGA-DODOMA KATIKA SEHEMU YA IRINGA-MIGORI-FUFU KM 189 ILIYOKAMILIKA KUJENGWA KATIKA KIWANGO CHA LAMI
Older Article
Tshishimbi azua balaa Yanga, kocha afafanua ‘sub’ yake
TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI KUU TANZANIA
Hassani MakeroMar 08, 2025WAKAZI WA DAR WAJITOKEZA KUCHUKUA NAMBA KUSHIRIKI MBIO ZA YAS KILI INTANATION HALF MARATHON
kilole mzeeFeb 15, 2025KOCHA WA YANGA APEWA MKONO WA KWAHERI
Hassani MakeroFeb 04, 2025
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment