Monday, April 30, 2018

Tshishimbi azua balaa Yanga, kocha afafanua ‘sub’ yake
Baada ya Yanga kupoteza mchezo wa watani wa jadi dhidi ya Simba, mashabiki wa Yanga waliwazonga viongozi wa klabu hiyo wakilalamika kwamba hawataki kocha msaidizi Shadrack Nsajigwa aendelee kuwepo kwenye benchi la ufundi.
Mashabiki walikuwa wanalalamikia mabadiliko yaliyofanywa na benchi la ufundi kwa kumtoa Papy Tshishimbi na nafasi yake kuchukuliwa na Emanuel Martin. Mabadiliko mengine yanayolalamikiwa ni kumtoa Ibrahim Ajibu na kumuingiza Pius Buswita.
Kwenye mkutano na waandishi wa habari, Nsajigwa amesema Tshishimbi alipumzishwa kwa sababu aliumia na alikuwa akicheza huku anamaumivu.
Tags
# MICHEZO
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI KUU TANZANIA
Hassani MakeroMar 08, 2025WAKAZI WA DAR WAJITOKEZA KUCHUKUA NAMBA KUSHIRIKI MBIO ZA YAS KILI INTANATION HALF MARATHON
kilole mzeeFeb 15, 2025KOCHA WA YANGA APEWA MKONO WA KWAHERI
Hassani MakeroFeb 04, 2025
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment