Saturday, January 26, 2019

TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI
Baadhi ya Wauguzi kutoka hospital mbalimbali nchini wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam. Warsha hiyo ilioendeshwa na Taasisi ya Doris Mollel iliyojikitaka katika kusaidia wakinamama na watoto njiti nchini.
Muuguzi Selina Pemba kutoka Mkoani Shinyanga akitoa somo kwa Wauguzi wenzake namna wanavyotakiwa kuwaelekeza wazazi ubebaji wa mtoto akiwa mdogo, wakati wa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam.
Muuguzi Bridgiter Cheyo kutoka Mkoani Pwani, akionyesha namna ya kumfunga Mama anayekuwa amemuweka Mtoto kifuani wakati wa Kangaroo.
Muuguzi Cleopatra Mtei kutoka hospitali ya Taifa Muhimbili ambaye ndiye aliyekuwa akiongoza Mafunzo hayo, akizungumza jambo wakati wa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA YATAKIWA KUFUATILIA UTUNZAJI WA NYARAKA KWENYE TAASISI ZA UMMA
Older Article
KAMPUNI YA MABATI ALAF YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAUZO
Rais Samia ahutubia Baraza la Eid El Fitr Jijini Dar es Salaam
Hassani MakeroMar 31, 2025MWENYEKITI WA CCM MKOA TANGA ASISITIZA AMANI SHEREHE ZA EID ELFITR
Hassani MakeroMar 30, 2025TCB BANK YAENDELEA KUIMARISHA UCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA
Hassani MakeroMar 28, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment