Sunday, September 15, 2019

DCI AFUNGUA MKUTANO WA WAKUU WA INTERPOL WA NCHI ZA MASHARIKI MWA AFRIKA
Washiriki wa Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Interpol (NCB) kwa nchi za Afrika Mashariki wakifuatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo. (Picha na Jeshi la Polisi).
Mkurugenzi wa Upelelezi wa
Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz akisalimiana
na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo (CP), Liberatus Sabas mara baada ya kufungua Mkutano wa 16 wa Wakuu wa
Interpol (NCB) kwa nchi za Afrika
Mashariki (kushoto kwake) ni Mkuu wa Interpol Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi (DCP), Daniel
Nyambabe.
Mkurugenzi wa Upelelezi wa
Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz akiwa katika picha
ya pamoja na Wakuu wa Interpol (NCB) kwa nchi za Afrika Mashariki wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 16 wa Wakuu
wa Interpol (NCB) kwa nchi za
Afrika Mashariki (Picha na Jeshi la Polisi).
Washiriki wa Mkutano wa 16
wa Wakuu wa Interpol (NCB) kwa nchi za Afrika
Mashariki wakifuatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz wakati wa ufunguzi wa
Mkutano huo. (Picha na Jeshi la
Polisi).
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment