Thursday, March 23, 2017

MSHINDI WA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO YA NBC AKABIDHIWA GARI
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC,
Filbert Mponzi (katikati), akikabidhi funguo ya gari aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka 2016 kwa
Aldo Nsuha mshindi wa kampeni ya akaunti ya malengo ya benki hiyo
iliyodumu kawa muda wa miezi mitatu. Kulia ni mke wa mshindi huyo, Zenobia
Tarimo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Wateja
wawili wa benki hiyo walishinda zawadi ya gari kila mmoja.
Mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya Benki
ya NBC, Aldo Nsuha mkazi wa Tabata, jijini Dar es Salaam akijaribu kuwasha gari
lake aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka
2016 baada ya kukabidhiwa jijini Dar es Salaam leo. Anayemuangalia ni mke
wake, Zenobia Tarimo.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDIATEMBELEA KAMPUNI YA MAHINDRA JIJINI NEW DELHI, INDIA
Older Article
KAIRUKI ATEMBELEA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA NA WALENGWA WA TASAF MKOANI MBEYA.
Uchambuzi wa bajeti kuchochea ufanisi taasisi za umma
Hassani MakeroMar 24, 2025KAMPENI YA 'NO REFORM NO ELECTION' YAPOTEZA MWELEKEO RUKWA
Hassani MakeroMar 24, 2025TAMASHA LA KUOMBEA UCHAGUZI KUFANYIKA MIKOA YOTE TANZANIA
Hassani MakeroMar 24, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment