Friday, May 19, 2017

BOLLYWOOD WAMPATA RAMBO WA KIHINDI
BollyWood
wanatengeneza filamu ya Rambo ya Kihindi, anayefanana na Sylvester Stallone
kapatikana….
Muigizaji
wa India Tiger Shroff ataigiza kama RAMBO kwenye filamu ya Rambo ya kihindi
inayoanza kutengenezwa BollyWood.
Tiger Shroff ameonekana kufanana na Sylvester Stallone na kupewa
shavu la kufanya filamu hii itakayoongozwa na Siddharth Anand wa (Bang Bang)
akisaidiwa na M! Capital Ventures, Original Entertainment, Impact Films na
Siddharth Anand Pictures.
Filamu
hii imetajwa kutoka mwaka 2018, Tiger Shroff ni muigizaji mzuri wa filamu za
ngumi.
Stori
itahusu Rambo wa kihindi kurudi nyumbani na kukuta bado kuna vita kwenye mitaa
anayoishi na familia yake.
Tags
# FILAMU
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
RAIS WA ZANZIBAR AMEKUTANA NA MUIGIZAJI WA FILAMU ZA KIHINDI
Hassani MakeroNov 09, 2021Serikali Kuanzisha Mfuko Wa Sanaa Na Utamaduni-Dkt.Abbasi
Hassani MakeroJul 09, 2020MATOKEO YA TUNZO YA TANO YA FILAMU INAYOTOLEWA NA MFUKO WA EMERSON'S ZANZIBAR FOUNDATION KUTANGAZWA JULAI 4
Hassani MakeroJul 02, 2020
Labels:
FILAMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment