Monday, June 12, 2017

DC MUHEZA AFUTURISHA WAKAZI WA WILAYA HIYO
Wageni wakipata futari
iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Muheza, Mhandisi Hajat Mwanasha Tumbo
Mkuu wa wilaya ya Muheza,
Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo kulia akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga
(RAS) Mhandisi Zena Saidi katikati anayefuatia ni Katibu Tawala wa wilaya ya
Muheza (DAS) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza, Luiza Mlelwa
wakipata futari iliyoandaliwa na mkuu huyo wa wilaya nyumbani kwake.
Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga Hajat Mhandisi
Mwanasha Tumbo kulia kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhandisi Zena
Saidi wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu huyo wa wilaya.
Baadhi ya waalikwa
wakipata futari hiyo
Baadhi ya wageni waalikwa
wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi
Mwanasha Tumbo
Wageni waalikwa wakipata
futari nyumbani kwa Mkuu wa wilaya ya Muheza.
Katibu Mwenezi wa CCM wilaya ya Muheza, Makame Seif
katikati akiwahudumia wageni waalikuwa kwenye futari hiyo anayepokea chai ni
Mganga Mkuu wa wilaya ya Muheza, Mathew Mganga.
Wageni waalikuwa kwenye futari hiyo katikati ni
Amina Omari Mwandishi wa gazeti la Mtanzania Mkoa wa Tanga na kulia ni Mariam
Shedafa kutoka Azam TV Tanga.
Mkuu wa wilaya ya Tanga, Thobias Mwilapwa katikati
akiwa na wageni wengine wakishiriki kwenye futari hiyo ambayo iliandaliwa na
Mkuu wa wilaya ya Muheza, Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo.
Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga Hajat Mhandisi
Mwanasha Tumbo akizungumza na waandishi wa habari ambapo alitoa shukrani kwa
kuitikia mwitikio wa futari hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Muheza, Hajat Mhandisi Mwanasha
Tumbo akiagana na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika futari hiyo.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Mkuu wa mashtaka afutwa kwa kukataa kupokea simu ya Trump
Older Article
Aliyeuwa na kujificha miaka 45 akamatwa Japan
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO
Hassani MakeroMar 12, 2025"Stori za Afya za Wanawake wa Tanzania zina thamani kwetu", Absa Bank
Hassani MakeroMar 12, 2025HALMASHAURI KUU YA CCM YAPENDEKEZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA UTEUZI WA WAGOMBEA UONGOZI
Hassani MakeroMar 11, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment