![]() |
Nabii Suguye wa Kanisa la WRM, Kivule, Matembele ya Pili, Ukonga, Dar es Salaam |
Mmoja wa wenye changamoto wanao hudhuria kanisani hapo kupokea miujiza yao |
Mbali na hao watu wengine ambao Mungu aliamua kuwaponya na kujitukuza kupitia Mtumishi wake Nabii Nicolaus Suguye ni Justine Mahoka ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya mguu kwa muda mrefu na kupelekea ashindwe kutembea kutokana na mguu huo kuoza na kutoa harufu kali, alijikuta anatembea kama kawaida baada ya kufanyiwa maombi na Nabii Suguye kanisani hapo.
Mmoja wa wenye changamoto akipokea uponyaji wake |
No comments:
Post a Comment