Thursday, July 9, 2020

Tigo na Tecno wazindua Tecno Spark 5 saba saba
Meneja Bidhaa za Intaneti-Tigo Mkumbo Myonga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa simu Mpya ya TecnoSpark5 ambapo Mteja atanunua kwa bei ya laki 333,000 na kupata ofa za kifurushi cha GB 78 kwa mwaka mzima, kushoto kwake ni Meneja mawasiliano kutoka kampuni ya Tecno Erick Mkomoye mapema leo katika viwanja vya maonesho ya SabaSaba.
Meneja mawasiliano kutoka kampuni ya Tecno Erick Mkomoye akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa zinduzi wa simu Mpya ya TecnoSpark5 ambapo Mteja atanunua kwa bei ya laki 333,000 na kupata ofa za kifurushi cha GB 78 kwa mwaka mzima.
Meneja mawasiliano kutoka kampuni ya Tecno Erick Mkomoye akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa simu Mpya ya TecnoSpark5 ambapo Mteja atanunua kwa bei ya laki 333,000 na kupatau ofa za kifurushi cha GB 78 kwa mwaka mzima.
Mwandishi wa habari wa TVE Ellen Manyangu akipokea Zawadi ya Simu Kutoka kwa Meneja mawasiliano kutoka kampuni ya Tecno Erick Mkomoye mara baada ya uzinduzi wa uzinduzi wa simu Mpya ya TecnoSpark5 ambapo Mteja atanunua kwa bei ya laki 333,000 na kupata ofa za kifurushi cha GB 78 kwa mwaka mzima. Anayeshuhudia ni Meneja Bidhaa za Intaneti-Tigo Mkumbo Myonga.
Waandishi wakifurahia Zawadi zao kutoka Tigo mara baada ya uzinduzi wa uzinduzi wa simu Mpya ya TecnoSpark5 ambapo Mteja atanunua kwa bei ya laki 333,000 na kupata ofa za kifurushi cha GB 78 kwa mwaka mzima.
Kampuni ya mawasiliano ya tigo imewataka wananchi kutumia nafasi ya uwepo wa maonesho ya kibiashara ya 44 ya Dare salaamu sabasaba kwa ajili ya kufanya manunuzi ya vifaa vya mawasiliano vyenye ubora kufuatia maonesho hayo kuhusisha kampuni za mawasilianobza simu ambazoZinaleta vifaa vyenye ubora
Akizungumza jijini Dare salaamu Meneja wa bidhaa za intaneti kutoka tigo mkumba myonga amesema katika maonesho hayo wameingia makubaliano na baadhi ya kampuni za uuzaji vifaa vya simu ambazo zina sifa na ubora kwa matumizi ya watanzania.
Kwa upande wake Meneja mawasiliano kutoka kampuni ya Tecno Erick mkomoye ameeleza kuwa hivi Sasa Watanzania wanahitaji teknolojia za Hali ya juu kwenye simu zao wanazotumia ili kuendeleza uchumi wa Kati uliofikiwa na kuifanya endelevu na kwa kutambua hilo wameamua kuja na simu aina ya Tecno spark 5 yenye thamani sawa na mahitaji ya watumishi.
Tags
# BIASHARA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Majengo Ya Hospitali Ya Manispaa Yakamilike Katika Kipindi Husika- RC Tabora
Older Article
Vodacom yatoa punguzo la bei ya simu janja za Smart Kitochi maonesho ya 44 ya biashara ya kimataifa ya sabasaba
Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
Hassani MakeroMar 11, 2025Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari Zanzibar, Yajivunia Ongezeko la Wateja
Hassani MakeroMar 07, 2025BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES, INAYOJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE-MBAGALA
Hassani MakeroMar 07, 2025
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment