Thursday, July 9, 2020

Home
BIASHARA
Vodacom yatoa punguzo la bei ya simu janja za Smart Kitochi maonesho ya 44 ya biashara ya kimataifa ya sabasaba
Vodacom yatoa punguzo la bei ya simu janja za Smart Kitochi maonesho ya 44 ya biashara ya kimataifa ya sabasaba
Meneja wa maduka ya Rejareja Vodacom Tanzania PlC, Vanessa Mlawi (kulia) akizungumza na waandishi wa habari waliotembelea banda la Vodacom kwenye maonesho ya 44 ya biashara ya kimataifa ya sabasaba kuhusu punguzo la bei kwa simu za Smart Kitochi zinazopatikana kwa shilingi 45,000/- na bidhaa mbalimbali zinazopatikana bandani hapo.
Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald (wa pili kushoto) pamoja na Msaidizi wa Mipango Vodacom Tanzania Foundation, Kelvin Boya wakiwaelezea wateja kuhusu huduma ya Instant School walipotembelea banda la Vodacom kwenye maonesho ya 44 ya biashara ya kimataifa ya sabasaba.
Mtoa huduma kwa wateja Vodacom, Oliver Nyasa (kulia) akimsikiliza mteja aliyetembelea banda la Vodacom kwenye maonesho ya 44 ya biashara ya kimataifa ya sabasaba.
Mtoa huduma kwa wateja Vodacom, Faraja Mwaseke (kulia) akiwasikiliza wateja waliotembelea banda la Vodacom kwenye maonesho ya 44 ya biashara ya kimataifa ya sabasaba.
Tags
# BIASHARA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Tigo na Tecno wazindua Tecno Spark 5 saba saba
Older Article
MATUKIO MBALIMBALI KATIKA BANDA LA TRA KWENYE MAONESHO YA SABASABA JIJINI DAR
Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
Hassani MakeroMar 11, 2025Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari Zanzibar, Yajivunia Ongezeko la Wateja
Hassani MakeroMar 07, 2025BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES, INAYOJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE-MBAGALA
Hassani MakeroMar 07, 2025
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment