KATIBU MTENDAJI WA BASATA GODFREY MNGEREZA AFARIKI DUNIA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Friday, December 25, 2020

demo-image

KATIBU MTENDAJI WA BASATA GODFREY MNGEREZA AFARIKI DUNIA

1

Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza amefariki dunia usiku siku ya Disemba 24, huko Jijini Dodoma katika Hospitali ya General ambapo alikuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Taarifa hizo zimethibitishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya BASATA ambaye ametangaza kifo hicho na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt Hassan Abbasi

Ratiba ya mazishi bado haijatolewa ila tunaendelea kufuatilia kwa ukaribu kukupa kile kinachoendelea kuhusiana na msiba huu.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *