Tuesday, November 9, 2021

ELIMU YA HUDUMA YA FEDHA YAWAFUNGUA MACHO WANANCHI
Kamishna Msaidizi wa Idara ya Ubia kati ya Sekta Binafsi na Umma (PPP), Bw. Bashiru Taratibu, akielezea miradi ya PPP ikiwa ni fursa ya uwekezaji inayotolewa na Serikali kwa Sekta Binafsi kwa Mkazi wa Dar es Salaam, Bw. Clementi Kaaya, alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha na Mipango, katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Mtaalam wa masuala ya Huduma Ndogo za Fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Joseph Msumule, akitoa elimu kwa Mkazi wa Dar es Salaam, Mzee Juma Mohamed kuhusu umuhimu wa Huduma za Fedha katika ustawi wa jamii, alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha na Mipango, katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mwandamizi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Crispina Nkya, akitoa elimu ya fedha kwa mkazi wa Dar es Salaam, aliyetembelea Banda la Benki hiyo, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Msimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango. Bi. Mwanaidi Araba (kulia), akitoa elimu ya Ubia kati ya Sekta Binafsi na Umma (PPP), kwa wakazi wa Dar es Salaam, wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Elimu kuhusu Huduma za Fedha ikitolewa kwa wananchi katika Banda la Benki Kuu ya Tanzania, wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Elimu kuhusu Huduma za Fedha ikitolewa kwa wananchi katika Banda la Wizara ya Fedha na Mipango, wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa masuala ya Huduma Ndogo ya Fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Renatus Lucas, akitoa elimu ya huduma hiyo kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Fedha na Mipango wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa Masuala ya Mifumo ya Fedha wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Maendaenda, akielezea namna mifumo ya kielektroniki ya malipo ya Serikali inavyofanya kazi, wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam. (Picha na Peter Haule, WFM, Dar es Salaam)
Tags
# BIASHARA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
Prof. Mbennah Awasilisha Hati Za Utambulisho Nchini Mauritius
Older Article
TIGO YAUNGANA NA MILEMBE INSUARANCE KUWAFAIDISHA WATEJA WA TIGOPESA
Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
Hassani MakeroMar 11, 2025Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari Zanzibar, Yajivunia Ongezeko la Wateja
Hassani MakeroMar 07, 2025BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES, INAYOJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE-MBAGALA
Hassani MakeroMar 07, 2025
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment